hushtuka, b) b) Shogake dada ana Ndevu Huku ukirejelea hadithi za “Tumbo Lisiloshiba” na “Shibe Inatumaliza”, fafanua maudhui ya ukiukaji wa haki. Wakati mabuldoza yalipokuwa yakiangusha vibanda na kuwatimua watu. Ukengeushi Licha ya kupigana, mkosi wa ufakara ulimwandama. Sarina alitunza Siri ya Sara kwamba ni mja mzito. ukweli wa kauli hii kwa hoja kumi ukirejelea hadithi ya Tumbo Lisiloshiba. ➢  Ni mpenda amani na haki. Pamoja najitihada zoteza kutatilta kazi. .Rubaa ya watu wane ikajitoma chumbani kama askari wa Fanya Fujo Uone (Uk 73). Mwenye hasira: anamkashifu Dennis kwa kasbfa no kukosa kazi. Ilibidi mzee Mago ajinyime, awatafute wenzake wazungumze na kulijadili jambo hili ambalo lilikuwa nyeti sana kwao. Hamida anapomdadisi kuhusu hali yake ya kutapika, anapandisha hasira na kukimblha chumbani mwake. Aidha ni mkuu asiye na kazi maalum. Watuwa tabaka la chini au wasakatonge hujitahidi kupigana na kujitoa humo lakini hawajafaulu. Kuna tabaka la midege mikubwa. b) Taja na ueleze sifa nne za msemaji katika dondoo hili. Kuwa na gari la kifahari-“Sikomi kuyamezea mate hayo”. wa chuo kikuu si kama watoto vikembe wa shule ya chekechea…..”, Ni (al 10) a) Ubinafsi- Kuna ubinafsi na ulafi katika jamii ya kisasa kama ilivyo katika hadithi.Jitu linamaliza chakula chote kwenye Mkahawa Mshenzi bila kuwajali wateja wengine. Anasisitiza, “Nataka tupige vita fikra kwanlba kijana wa kitajiri hawezi kutangamana na mwenziwe. Alitafuta kazi kwa bidii, alituma tawasifu yake mahali pengi. Maisha hayawezi kusonga mbele kama hufanyi kazi yoyote. Huduma ambazo wanyakuzi huzipata bure ni pamoja na; maji, umeme na matibabu. Matokeo yake Safia anafikia hatua ya kudanganya kuwa yule anayesoma naye chumbani ni binti kumbe njemba yenye ndevu. ➢  Mchele wa basmati —unasimamia bidhaa duni zinazolundikwa katika nchi changa na mataifa mengine. Wanawapatia Penina na Dennis masurufu yote wakielewa fika kuwa hawana kazi. ➢  Dini ni dhana mwafaka ya kumwongoa mtu ili awe mnyofu. Mama mlezi wake alimsomesha hadi darasa la nane. Kinaya kimetumika kwingine kwingi katika hadithi ya Mwalimu Mstaafu.” Hakutaka kuhusishwa tena na Dennis. ➢  Safia alikuwa mnafiki na mwongo. ➢  Viongozi wananyakua mabilioni ya fedha lakini hawachukuliwi hatua yoyote. Katika jamii iliyojaa dhuluma hakuna haki. Taharuki, a) Anwani ya hadithi TUMBO LISILOSHIBA ni mwafaka kwa hadithi hii. maudhui ya malezi kama yanavyojotokeza katika hadithi ya shogaka Dada ana Ndevu Wakati huo huo Bw. ➢  Ana mapenzi ya dhati: aliwapenda watoto na mke wake, wanapomkimbia anasononeka. Dadi anachukulia kuwa mwacha mila mtumwa, akasahau pia kuwa mwacha mila ni jasiri. Lisemwalo lipo,kama halipo linakuja. ➢  Ni rafiki yake Shirandula ambaye amezaliwa kijijini, ➢  Anapenda kutazama visamaki kwenye kidimbwi cha bustani hiyo, ➢  Anapenda kuvirushia visamaki hivyo sima kila anapotembelea bustani hiyo, ➢  Anaambiwa na Shirakunda kuwa kijijini kuna visami vikubwa kuliko hivyo vya mjini, ➢  Anatamani siku moja naye afike kijijini na kujionea, ➢  Anashuhudia midege inavyovamia, kuharibu bustani na kuia visamaki vilivyokuwa kwenye kidimbwi, ➢  Anashuhudia namna videge vidogo vinavyoung kupambana na midege mikubwa na hatimaye videge vibgo vinashinda, Mose anajitolea kulisha visamaki kwenye kidimbwi ambavyo vimekuja kutwaliwa na mabwana wenye nguvu, ➢  Ndiye alimwambia Mose kuwa kjijini kuna samaki wakubwa kuliko wa mjini, ➢  Alitega kitendawili kilichotaka kujua yupi bora kati ya mjenga choo na mjenga kasri. (a) Eleza mukadha wa dondoo hili. Kwa sadfa siku mbili kabla ya kubakwa alikuwa amesoma shairi la ‘Usiniuwe’ Ia, Wa mimba. . ndevu dhihirisha ukweli wa kauli hii, Fafanua ➢  Anaamini kuwa sheria inaweza kuwa suluhisho la matatizo yao. “Kesho panapo majaaliwa. Kwa Dennis hili liliongeza uzani zaidi wa tatizo lake. Alikuwa na bidii: alifanya vibarua vya kila namna kumkimu. a) Weka dondoo katika muktadha Siku moja wakila chamcha, Lulua alitoboa siri kwamba, aliingia chumbani mwa Safia akawakuta wamelala. Watu maskini wangeshauriwa wangeweza kuonyesha watakavyochangia maendeleo ya nchi yao. Tabaka hib la midege mikubwa linaashiria tabaka la -matajiri; watu wenye nguvu za k iuchumi katika Watu hawa hutumia nguvu zao kuwadhulumu wanyonge rasilimali na haki zao. Katika kutafuta suluhisho Ia mapenzi ya dhati Penina anaamua kupelcka mapenzi yake kwa Dennis ambaye anatoka katika tabaka la chini. Mama anapomuuliza na kumdhihirishia kwamba anamshuku, anapandisha hasira. Jambo hilo linamwumiza mno. vizazi vijavyo. ii) Shogake dada ana ndevu (d) “Lakini nakwambia tena, kula kunatumaliza”, “Hapana cha ala, (alama 6), (a) “Mame Bakari” Kwa mujibu wa hadithi hii, ubahaimu anaotendewa mwanamke unakuwa na athari mbaya kwake. Kilabinadamu lazima afanye kazi. Aidha jeshi la polisi hushadidia jambo hilo hilo la unyanyasaji wa w anyonge. Kwa kuzingatia hadithi zozote tano eleza uozo wa jamii kama unavyojitokeza katika tumbo lisiloshiba (Diwani), “Kesho panapo majaaliwa. Utabaka ukaisha. vile kinaya kinavyojitokeza ( alama 2), “ Ndani yake visamaki vidogo vyenye rangi anuwai za kuvutia. c) Mame Bakari . Mose anashindwa kuifukuza ile midege. ➢    Ni mwenye bidii: shughuli ya kupigania na kuzuia mipango ya watu wakubwa sio rahisi. Ana tamaa: alitamani awe na rafikimpenzi kama wanachuo wengine. tajiri”. Midege hiyo ilikuu imekizunguka kile kidimbwi chenye visamaki vya kuvutia. (alama 20), (a) Jadili matatizo yanayowakumba wakaazi wa Madongo poromoka katika tumbo lisiloshiba (alama 10) Ni mzingatifu: anajua alitaka nini maishani na akazingatia matakwa yake —ya ndoa ya kisasa. - Dhuluma na unyanyashaji b) Taja na ufafanue tamathali ya usemi uliyotumiwa katika dondoo hili Dennis alihitaji kazi na alikuwa na ari ya kufaulu usaili lakini; anaulizwa swali moja tu na ananywea na kushindwa kujibu na hivyo anarudi nyumam bila tumaini lolote. ➢   Ana tamaa: alitamani awe na rafikimpenzi kama wanachuo wengine. Fafanua Elimu hutumiwa kama kidato cha kujipatia kazi. Anadhihirisha kuwa sio rahisi msichana wa tabaka Ia juu kuolewa na mvulana mchochole. ➢  Wakati Sara alipobakwa ilisadifu kuwa uzazi wake ulikuwa sawa akashika mimba. Masudi na Bi. ➢  Ni msiri: ingawaje walifahamishwa hali ya Sara mapema na mkewe, waliiweka siri na hawakuonyesha kama walifahamu chochote —hadi siku rasmi iliyopangwa. Yeye mwenyewe anakiri kwamba hana kazi yoyote. “ Mwandishi wa hadithi ya Tumbo lisiloshiba ametumia mbinu ya Jazanda kwa ufanisi mkubwa.”. 1. ➢  Vijana mara nyingi huwa na mihemko ya kupapia mambo kabla ya wakati. Mgomba changaraweni haupandwi ukamea. “Kesho Anaamua kutumia ujanja kwa kutoa ombi ambalo halikuwa na shaka kwa wazazi wake. wazazi wa Sara mashaka yake kutokana na mapenzi yao wakaanza kumpa msaada. Hatujui vile alivyoathirika. huduma ni sawa na mmea wa kifaurongo. b) Taja sifa nne za msemaji ➢  Wazazi wa Dennis walifanya juu chini ili waepukane na ukata lakini uliendelea kuwaandama. ➢  Nijitu lisilo na utu linalovizia wasichana usiku na kuwabaka. Alikuwa na mama mlezi Biti Kidebe, maana wazazi wake wote walifariki, Pindi alipozaliwa. Anakuwa mpweke chuoni. Mwenye hila na maarifa: anapanga mpango kuwa Sara avae jilbabu nyumbani na shuleni ili kuficha mimba. ➢  Namna ya kuruka vikwazo vya sheria vilivyowekwa ili watu wadogo wasiweze kupoteza mali zao. Ingawaje wana haki ya kula vyakula hivyo vilikuwa vimenyakuliwa na watu wengine. Mose amezoea kubeb sima mfukoni mwake. Hata hivyo yeye anajichukulia ujira au rnshahara wa kiwango cha juu mno. Mkadi ana vitendo viovu kushinda shetani. uhalisia wa hadithi ya Tumbo Lisiloshiba katika jamii ya leo kwa kutoa hoja Anaisitikia hali yake duni, akawa msononevu. For other set books and guides, go to the Set Book Section. Na yeye akajichimbia kaburi mwenyewe. ya kutambua vipengele vya sheria za utiaji huo wa kitanzi. Kanuni au sheria za dini alizizingatia bila wahaka (wasiwasi) wowote. Kidawani kielelezo cha mwanamkewakisasa ambayehatakl kushikilia mila za kizamani. Wazazi wake walikuwa wanategemea vibarua vya kulima mashamba ya watu Wengine. ➢  Hili lilikuwa ndovu —mtu kwa ukubwa wake. ➢  Hawa ni mawaziri wa wizara moja. Walimaliza masomo yao lakini baada ya miaka miwili, kutokana na ukosefu wa kazi mapenzi yake yalididimia na kunyauka kabisa. Muhtasari Wa Tumbo Lisiloshiba Na Hadithi Nyingine pdf, Muhtasari Wa Tumbo Lisiloshiba Na Hadithi Nyingine (pdf Download), Memories We Lost and other Stories pdf free Download, KMTC HELB Loan For Students Admitted to KMTC 2020-2021 Afya Elimu Fund Loan Application First Time Applicants, DIY Home Improvement Projects for Beginners, Radio Stations in Kenya and their Frequencies, Infinix Note 8 Price In Kenya, Tanzania, India, Nigeria, Mulamwah Breaks up With Girlfriend Carrol Sonie, Kenya Police Recruitment 2020 for 5,000 Constables & 150 Cadets, A Doll’s House Study Guide – Synopsis and Summary of Acts, Hadithi hii imepewa kichwa ambacho kinasadifu Yale yaliyomo. (alama 4), Jadili Yeye ndoto yake ilikuwa kumaliza masomo na kupata kazi ili aweze kuumaliza ukata wake na wazazi wake. i) Mwalimu Mosi Kesho kama sote tutaamka…….. kama tutafungua milango ya nyumba zetu zinazosimamia juu ya ardhi hii adhimu…”a Eleza muktadha wa dondoo hilib Eleza sifa nne za msemajic) Taja mbinu zozote mbili za lugha zinazojitokeza katika dondoo hilid Kwa kurejelea hadithi nzima onyesha namna jamii ya kisasa ina tumbo lisiloshiba. Unyama huo unafikia mwisho wakati alipojaribu kubaka msichana mwingine.Aliadhibiwa vikali akautoa uhai wake. Hii ni inaonyesha mabadiliko ambayo yalijilazimishia kwa Sara baada ya kubakwa. Uozo wa jamii Kisa hicho Cha kinyama kilinata akilini mwake, akawa anakumbuka kila kitu. Walijadili nini? Aidha alikunywa soda nyingi sana. lisiloshiba ametumia mbinu ya Jazanda kwa ufanisi mkubwa.” Thibitisha ( alama Mzee Rubeya tajiri mtajika wa ukoo wa Mwinyi anamuo bintiye kwa kijana hohehahe. Umaskini wake ulimfanya asiwazie hata kuwa na rafiki wa kike. Dennis ametumika kudhihirisha kuwa si Rihisi kijana wa kiume mchochole kupendwa na msichana wa tabaka la juu na mahusiano yao kudumu. Dennis anapofukuzwa anajizungumzia sijui kama mimi ndiye kupe au mlazadamu. Date posted: May 6, 2019. c) Fafanua mbinu zozote nne za kifani katika... ‘Shogake dada ana ndevu’ Safia Walidai sio mwanamume tosha. Ndoa hii ilileta aibu kwa familia ya Rubeya na wakahamia Yemeni alikotoka. Ni mshawishi: alimshawishi Dennis kuwa pesa na mapenn ni vitu tofauti. zao, hadi wakandamizaji waliotia nta maskioni wanalazimika kusikiliza na mambo kubadilika. Hawajali hata wakilaumiwa. Fafanua dhana ukirejelea hadithi ya Tumbo lisiloshiba na Mapenzi ya Kifaurongo (alama 20) 5. Ni yatima aliyelelewa na Biti Kidebe mwenye roho nzuri lakini mnyonge. - Ulafi wa jitu pale mgahawani pa Mago ➢  Anapenda ushirikiano. Kazi humzatiti binadamu. Katika hadithi hii mhusika Penina anampenda Dennis kwa kuwa alikuwa mwaminifu. Anaisitikia hali yake duni, akawa msononevu. Kwa ➢  Mwenye tamaa: anatamani kupata fedha ili wanawe wafurahi wampende na yeye ajipende. Dhuluma, ufujaji wa mali za umma na ukandamizaji wa wanyonge ni matokeo ya shibe waliyonayo viongozi walioko madarakani. - Tamaa ya wenye mabavu Wakati mwingine Mose huenda bustanini hapo n rafiki yake Shirandula. Kisa kinaanza kwa kuzingatia mashaka ya Sara msichana wa Shule ambaye alibakwa na lianaume fulani. Wakati kisa kinapomalizikia pia kuna taharuki: Je Dennis alienda wapi? Penina anapata masurufu mengi ya kutosha, shilingi elfu tano kila juma. (alama 4) Wimbo wenyewe una fumbo ndani yake: ” …Mola ndiye atowae akampa mahuluki mali, huyo ndo humbariki. Aidha walipomweleza Beluwa naye aliahidi kuiweka Siri. ➢  Ni mfariji: anamfariji mwanawe na kumpoza wakati alipoangua kilio katika chumba cha daktari. Kumbe mapenzi ya Penina yalikuwa ya kifaurongo. Dadi alimfuata Kidawa kazini ili kumfumania na mwalimu mkuu kama alivyoshuku. (a) Eleza muktadha wa dondoo hili Wanahojiana mambo juu ya: ➢  Kustahili kuishi kwa amani na furaha popote nchini mwao. Kimwana aliyeaminika kuwa na tabia kama ya Safia akawa anakuja kudurusu. (b) Eleza tamathali mbili za lugha zilizotumiwa katika dondoo hili. ➢  Anajua ukweli kwamba kupata mtoto na kumlea ni mambo mawili tofauti. ➢  Hawa walibomoa vibanda vya wananchi wa  Madongoporomoka. Thibitisha ukweli wa kauli hii kwa hoja kumi ukirejelea hadithi ya Tumbo Lisiloshiba, Primary and High School Exams in Kenya With Marking Schemes. Mwandishi anatoa tathmini pana ya chanzo cha umaskini.

Jeep Heater Jacket, Chiquita Spanish To English, Alerrt Training Manual Pdf, Kathleen Kingsbury Email Address, Wbc Dividend Dates 2020, Bryan Meaning In Bible, How Many Amps Does A 25,000 Btu Air Conditioner Use, Nike Sb Skunk Dunk Legit Check, Eznpc Fallout 76 Review,